Lorem Ipsum is simply dummy text of the printing and typesetting industry. Lorem Ipsum has been the industry's standard dummy text ever since the 1500s, when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries, but also the leap into electronic typesetting, remaining essentially unchanged. It was popularised in the 1960s with the release of Letraset sheets containing Lorem Ipsum passages, and more recently with desktop publishing software like Aldus PageMaker including versions of Lorem Ipsum.
Wednesday, 21 October 2020
Friday, 30 November 2012
NOW SHOWING: CENTURY CINEMAX MLIMANI CITY MALL (30 Nov - 06 Dec)
Starts on Friday 30 Nov 2012
HERE COMES THE BOOM [PG]*Kevin James
ARGO
[R]*Ben Affleck– 10 pm
HOTEL TRANSYLVANIA in 3D
[3D ANIMATION -PG]- 12 pm* / 2 pm & 4 pm
THE TWILIGHT SAGA BREAKING DAWN PART 2 [PG-13]*
Robert Pattinson, Kristen Stewart
-12 pm* / 2:30 pm / 5 pm & 7:30 pm
SKYFALL
[PARANORMAN in 3D[3D ANIMATION
PG]- 12 pm* / 2 pm & 4 pm]
HIT & RUN -
[R]*Bradley Cooper – 10 pm]
PIRANHA in 3DD
(*12 pm / 12:30)-Shown on SUN & P-HOLIDAY
(*) - ALL 3D & 2D movies price per ticket tsh 10,000
Thursday, 29 November 2012
AIRTEL WAMKUMBUKA SHARO MILIONEA
Rihanna Aendelea Kutikisa DUNIA kwa MUZIKI na DRAMA
Ben pol ft Lucci - majonzi
Wimbo huu ni mahususi kwa ajili ya Marehemu Hussein a.k.a Sharo Milionea aliyezikwa jana mchana huko kwao Muheza, Tanga Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Enter in GongaMx
Dr. Dre Buckets $110 Million As World's Top-Paid Musician
Though the rapper hasn't released a new album in 12 years, he leads a slew of pop stars, rock icons, rap moguls and country crooners many of whom make a killing outside the recording studio.
Though some artists—Jay-Z, for example—owe their success partly to business ventures like Dre’s most of this year’s top 25 are on the list because of touring.
Tuesday, 27 November 2012
Bonge la Bwana Ya Shetta Kutoka Wiki Ijayo Kwenye Radio Statio
Kama unaweza kukumbuka siku ya tarehe 25 mwezi huu msanii wa kizazi kipya ambae anazidi kufanya vizuri katika tasnia hii ya muziki wa hapa bongo maarufu kwa jina la Shetta, siku hiyo alikuwa akizindua au kuitambulisha track yake mpya aliyoipa jina la BONGE LA BWANA huku akisindikizwa na Roma Shilole,Young D,Ney wa Mitego,Nyandu Tozi,pasha,Stereo na wengine wengi ambao wote hao walikuja kumpa support katika uzinduzi wa hiyo ngoma yake.
Diamond Anyakua Tunzo Ya Msanii Bora Wa Kiume Nzumari Awards Kenya 2012.
KIFO CHA SHARO MILIONEA NI PIGO JINGINE 2012
Usiku wa jana ni ulikuwa usiku wa majonzi kwa watanzania wote hasa kwa waliokuwa mashabiki wakubwa wa msanii na mchekeshaji maarufu nchini Sharo Milionea,ambae amefariki dunia kwa ajali mbaya ya gari wakati akitoka Dar es Salaam kueleka wilayani Muheza, Tanga Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Costantine Massawe Hussein Ramadhani (Sharo Milionea) alikuwa akiendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier. Alipofika maeneo ya Segera gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa, likagonga mti nakusababisha kifo chake na yeye kutokea mbele ya kioo cha gari na kutupwa mbali.
Alisema Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza Aliongeza kuwa hakuna kona kali wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali. Gari lake imehifadhiwa mahali salama kwakuwa limeharibika vibaya na kwamba kwenye gari alikuwa mwenyewe.
Habari kuhusu kuthibitika kwa kifo chake zilianza kuenea jana usiku ambapo kwa upande wa rafiki yake
wa karibu Kitale amesema alikuwa
akiipiga simu ya Sharo Milionea iliyokuwa ikiita kwa muda mrefu bila kupokelewa na kisha kupigiwa simu na Tundaman, Mzee Majuto na Mjomba wake Sharokumtaarifu juu ya kifo hicho. Naye Raisi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba alisema kwamba “Sisi binadamu tunaweza kuwaza hivi na Mungu naye akawaza lake kwahiyo sisi tunaziombea familia hizi Mungu azipe faraja ya kweli na nadhaniinatoka kwa Mungu,” alisema hayo kwenye kituo cha televisheni ya TBC.
Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie wamesema kuwa kifo cha Sharo Milionea kimetokea wakati ambao alikuwa ameanza kufanikiwa “Sharo umri wake na mambo aliyoanza kuyafanya ni makubwa. “Sharo alishaanza kupata matumaini yaani ni sawa sawa unatupa mbegu halafu uitegemee inaanza kuchepua Sharo alishaanza kuchepua,anachepua ile mbegu yake, ameanza kujisaidia yeye kama yeye sababu katika maisha lazima kwanza uanze kujisaidia wewe kama wewe halafu pili uingalie jamii inahitaji nini kwako. Amejipatia usafiri maskini ya Mungu, pa kulala, na maisha yote ya kutoka Dar es Salaam kwenda Tanga kuwaona wazazi kutumia gharama yake.”Maneno hayo yalisemwa na Bwana Steve Nyerere,na pia aliongeza na kusema kuwa Jmbo la msingi ni Kumwachia Mungu na kuondoa mawazo kuhusiana na kifo chake. Umoja wa wasanii wa filamu nchini umesema umepata pigo kubwa sana hasa kwakuwa bado wana msiba wa msanii mwingine wa filamu Marehemu John Stephano ambaye anatarajia kuzikwa leo. Wamesema baada ya mazishi hayo kesho wanatarajia kusafiri na mabasi mawili kuelekea wilayani Muheza kwaajili ya mazishi ya marehemu Hussein Ramandhani(Sharo Millionea).
GARI ALILOPATA AJARI NALO SHARO MILIONEA USIKU WA KUAMKIA LEO
Hilo ndo gari alilopatia ajali Marehemu Sharo Millionea hapo jana usiku akiwa anaelekea Tanga Muheza kumuona mama yake
Monday, 26 November 2012
BREAKING NEWZ-Source Tone Radio
Breaking Nuuz: Kwa habari tulizo zipata hapa punde katika meza yetu na zisizo na uhakika zinadai kwamba .Msanii wa Filamu na Vichekesho Sharo Milionea Amefariki kwa Ajali Muheza Tanga.Tutawapa taarifa zaidi.
Zanzibar yetu katika Ramani
MALAWI YADUNGWA GOLI MBILI KWA SIFURI NA RWANDA /CECAFA2012
CECAFA Senior Challenge Cup grp. C 2012
37' Jean Baptiste
1 - 0
79' Haruna Niyonzima
2 - 0
Start: 26/11-2012 18:00
Round: 1
Eritrea and Zanzibar share spoils
Eritrea and Zanzibar played to a
barren in the CECAFA Senior
Challenge Group C opening
match played at the Nelson
Mandela Stadium in Naambole,
Uganda.
Eritrea will now face Malawi while
Zanzibar will be up against Rwanda
in their next matches to be played
at the same venue on Thursday 29
November 2012.
Current
Rwanda and Malawi are currently
battling in the second Group C
match.
Tuesday, 13 November 2012
LATEST MOVIES
Starts on Friday 10 Aug 2012
OMMY DIMPOZ IN SOUTH AFRICA
CPWA (DOUBLE RELEASES)
Brand New Two Tracks From Cpwaa
Mambo - CPwaa ft Anto'Neyo(The Artist)
Mission 12 O'clock - CPwaa ft The Artist,Godzilla,One,Lord Eyes and Mabeste
EXCLUSIVE TRACK 2012: ALIKIBA - MY EVERYTHING
Verse 1
Ilikua usiku wa jana asubuhi Nilipoamka…. Nikajikuta Nafuraha isio kifani….
Kidogo nilishtuka, Simu ilivyoitaa….. Niliipokea nikasikia analia….
Akashindwa hata kuongea…… Nikahisi msiba ndio umemfikaa…
Akauliza Umelala? Ooh Baby nalia na mola….. Nishateswa Sana na Penzi Nakosa Hata Raha….
Nahisi vibaya naona Nakupenda Sana…………..
Ooooobaiby u My Everything My Everything
Kila Nachofanya Kwa Ajili Yako My Everything
Hata Kama Mi Sina You My Everything My Everything
Kupendana Kwa Sana u my Everything My Everything
(Wololowololo) U My everything my everything
( ". " ) My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) Hey u My Everything…..
Kweli anavyojiona kama yuko paradise……. Anasikia raaaha mwili wake nikimshika……
Haitaji stress tena anataka tu furaha…… Nami mwendo uleule staki mwangushaa….
Maumivu atakitenaa…………. Ooooh baby utojuta kuupenda……
Hata mimi mapenzi oooh baby yashanitesa sana…… We lia na mola walimwengu akileta husda..
Mchana na lala usiku nafanya ibada…..
OOoooobaiby U My Everything….. My Everything
Kila nnachofanya kwaajili yako….. My Everything
Hata Kama Mi Sina…. U My Everything My Everything
Kupendana Kwa Sana….. U My Everything….. My Everything
(Ooooohhhoo) U My Everything….. My Everything
( ". " ) My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) U My Everything….. My Everything
( ". " ) Hey U My Everything….. My Everythng…..
( ". " ) U My Everything….. La Muja De Mivida
( ". " ) We nikila kituu…
( ". " ) Ooooou woowaaauaaa….. My Everything
( ". " )Hey U My Everything….. My Everything
(Wololowololo) Wolo….. (Wololowololo) Woloho
(Wololowololo) Wolo….. (Wololowololo) Woloho
(Wololowololo) Wolo…..


