Social Icons

Tuesday 27 November 2012

Bonge la Bwana Ya Shetta Kutoka Wiki Ijayo Kwenye Radio Statio

Kama unaweza kukumbuka siku ya tarehe 25 mwezi huu msanii wa kizazi kipya ambae anazidi kufanya vizuri katika tasnia hii ya muziki wa hapa bongo maarufu kwa jina la Shetta, siku hiyo alikuwa akizindua au kuitambulisha track yake mpya aliyoipa jina la BONGE LA BWANA huku akisindikizwa na Roma Shilole,Young D,Ney wa Mitego,Nyandu Tozi,pasha,Stereo na wengine wengi ambao wote hao walikuja kumpa support katika uzinduzi wa hiyo ngoma yake.

No comments:

LATEST NEWS

Share

Widgets

 

Total Pageviews