
watu mbalimbali kujitolea kwa nyakayi tofauti ili kuweza kufanikisha matibabu ya msanii huyo wa siku nyingi ambaye pia ni Director, Jumla ya Tsh. 16 milioni ziliweza kupatikana huku ikiwa bado inahitajika Tsh. 9 milioni ili kukamilisha kiwango kilichokusudiwa kukusanywa kwa ajili ya matibabu ya msanii huyo, na pia ziliweza kupatikana tiketi tatu za ndege za kwenda na kurudi nchini India.Tunakutakia kila la kheri Sajuki na Mungu akubaliki.
No comments:
Post a Comment