Social Icons

Tuesday 12 June 2012

FAHAMU KILICHOWAKIMBIZA AY NA MWANA FA KUTOKA B_HITS!

Wakali wawili ambao walikuwa napoteza sana kwa ngoma zao kutoka studio za B Hits chini ya Hermy B ambao kwa kipindi cha takribani miezi sita hivi hawako tena kwenye lebo hiyo wameweza kuweka wazi mapema wiki hii kwanini hawafanyi tena kazi na studio hizo. Wakiongea na Amplifaya wakali hao walithibitisha kutokufanya kazi tena na studio hizo huku wakiweka wazi kuwa kupanda kwa gharama za kurekodi ndani ya studio hizo ndio kikubwa kilichowafanya wakimbie ndani ya
studio hizo na wala hawana tofauti na mmiliki wa studio hiyo.

No comments:

LATEST NEWS

Share

Widgets

 

Total Pageviews