Kama mfuatiliaji mzuri wa myenendo ya mastaa wa Bongo utaikumbuka ile kauli ya Ambarozi wa Bongo hapa namzungumzia Wolper ambaye siku kadhaa zilizopita alisikika akitoa kauli ya kwamba "Atamnunulia Wema Sepetu kitanda", Kauli ambayo leo hii tumeona kwenye kipindi cha Take One cha Zamaradi pale Clouds Tv mama huyo akiongea kwa jazba juu ya kauli ya Wolper huku akitoa maneno makali na kuonesha chumba alichomlelea mwanae toka akiwa mdogo hadi alipohamia kwenye nyumba mwenyewe anazoziita za vichochoroni na kusema Kuwa Wolper asijaribu kujifananisha na mwanae.
Tuesday 12 June 2012
MAMA WEMA SEPETU AMPA MAKAVU JACKLINE WOLPER!!
Kama mfuatiliaji mzuri wa myenendo ya mastaa wa Bongo utaikumbuka ile kauli ya Ambarozi wa Bongo hapa namzungumzia Wolper ambaye siku kadhaa zilizopita alisikika akitoa kauli ya kwamba "Atamnunulia Wema Sepetu kitanda", Kauli ambayo leo hii tumeona kwenye kipindi cha Take One cha Zamaradi pale Clouds Tv mama huyo akiongea kwa jazba juu ya kauli ya Wolper huku akitoa maneno makali na kuonesha chumba alichomlelea mwanae toka akiwa mdogo hadi alipohamia kwenye nyumba mwenyewe anazoziita za vichochoroni na kusema Kuwa Wolper asijaribu kujifananisha na mwanae.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment