Social Icons

Sunday 13 May 2012

SIMBA YATOLEWA MAPAMBANONI

Katika kipindi cha dakika 90 Simba imefungwa magoli matatu wakati yenyewe haijapata kitu, mchezo huo ulianza saa mbili kamili kwa majira ya Tanzania. Baada ya kuamriwa kupigwa penati kwa kanuni za mashindano hayo.  Timu ya Al Ahly Shandy imeshinda penati 9-8 dhindi timu ya Simba na kuisukumiza nje ya mashindano.
Katika mchezo wa kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Dar es salaam Simba ilishinda magoli 3-0 na kujiweka katika nafasi nzuri ili kusonga mbele katika michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho inayoandaliwa na Shirikisho la vyama vya mpira wa miguu Afrka (CAF) vizur. Hata hivyo imeshindwa kulinda ushindi wake mnono ilioupata jijini Dar es salaam na kukubali kipigo hicho kilichowasukumiza nje ya mashindano hayo. Chanzo: Fullshangweblog

No comments:

LATEST NEWS

Share

Widgets

 

Total Pageviews