Social Icons

Thursday 27 September 2012

Fid Q feat J Bryant lyrics wanaposema Danger

Artist: Fid Q feat J Bryant



Song Title: DANGER



J Bryant: I am looking, she is looking/I love the way she work it

She is grinding, I am grinding/I love the way she is working it

Dangerx4..hatari hatari


FidQ: Groupies wapo tena lukuki, wapo cute zaidi yako unaweza sema mie ni mzushi/

Laini kama sufi ngozi yako,maufundi yako, sina budi kuja kwako mwenzako nakuomba urudi/

Sijala tangu juzi,siwezi lala bila movie, kama Fala umeniconfuse, mie wala hata sina chuki/

Suti hizo hapo kama ni harusi ndo unataka, haujuti mie ni Rapper hapa Napata saluti/

They shoot.. “PAAAH” I made you look,sio Love Letter ni Love Song kwenye Rhyme Book/

FidQ sio mtu wa juu kwa juu,as you see I can’t leave so I do LOVE YOU/

Repeat the chorus



BRIDGE:

J Bryant

I see it in your eyes that you are the freaky type/looking at the way your body moves

Got me in the corner of avenue/and now am thinking you some maybe suit/got me in the corner grinding too

I do, I do, I do, I do the way that you move

2d verse

Fid Q

Kama za Chinese Chiwawa hizo kucha,upo sawa mzuka Mama,umenivuta sana nimepagawa nitakupa flowers/

Napenda jinsi we Binti ulivyo Mtulivu,Msikivu,sio Mvivu,Mzabibu nikinge Bandidu nisife kwa Wivu/

Hakuna nitakachoguna sana itaniuma ukinuna, nitajituma mie Msukuma kunichuna Mama sio ishu/
Upo Sweet zaidi ya Ndizi za kiabakali, zaidi ya Sukari,zaidi ya Asali na una Figure flani kali

3rd Verse:

 
Fid Q

Mkulima akimeza Mbegu Jembe halikosi mwenyewe,nahisi niliumbwa ili unipende yaani sio lazima unielewe/

Naweza toa lakini mimi nisipewe,mimi ninaweza taka kukuoa kwenu wakakataa usiolewe/

Haujali kulala Ghetto au kuzishampoo hizi Rasta,kama Dansa wa Loketto juu ya FidQ unavyokata/

Upo na Mimi ‘Chill’ usilete usumbufu,na wasikutishe kwa Vimini tayari ushanivisha Vicheche Proof/

Ulivyonitega ili kuonyesha hisia zako, nitakupenda zaidi ya unavyojipenda zaidi ya Mbwa wako/

Nasinzia nikikuwaza japo we sio Wahu,nakufikiria fasta moyo unakimbia kama Babuu/

Nasikia siku hizi mapenzi hayaendi bila Cash?hata kama ukimpenda mtu kama hana kitu usimuonyeshe/

Na wenye nazo hawajatulia, wanawakatia mikwanja,wanawatumia, wanawaacha,wanawakimbia

No comments:

LATEST NEWS

Share

Widgets

 

Total Pageviews