Artist: Fid Q feat J
Bryant
Song Title: DANGER
J Bryant: I am looking, she is looking/I love the way she
work it
She is grinding, I am grinding/I love the way
she is working it
Dangerx4..hatari
hatari
FidQ: Groupies wapo tena lukuki, wapo cute zaidi yako
unaweza sema mie ni mzushi/
Laini kama sufi ngozi yako,maufundi yako, sina
budi kuja kwako mwenzako nakuomba urudi/
Sijala tangu juzi,siwezi lala bila movie, kama
Fala umeniconfuse, mie wala hata sina chuki/
Suti hizo hapo kama ni harusi ndo unataka,
haujuti mie ni Rapper hapa Napata saluti/
They shoot.. “PAAAH” I made you look,sio Love
Letter ni Love Song kwenye Rhyme Book/
FidQ sio mtu wa juu kwa juu,as you see I can’t
leave so I do LOVE YOU/
Repeat the chorus
BRIDGE:
J Bryant
I see it in your eyes that you are the freaky
type/looking at the way your body moves
Got me in the corner of avenue/and now am
thinking you some maybe suit/got me in the corner grinding too
I do, I do, I do, I do the way that you
move
2d verse
Fid Q
Kama za Chinese Chiwawa hizo kucha,upo sawa
mzuka Mama,umenivuta sana nimepagawa nitakupa flowers/
Napenda jinsi we Binti ulivyo
Mtulivu,Msikivu,sio Mvivu,Mzabibu nikinge Bandidu nisife kwa Wivu/
Hakuna nitakachoguna sana itaniuma ukinuna,
nitajituma mie Msukuma kunichuna Mama sio ishu/
Upo Sweet zaidi ya Ndizi za kiabakali, zaidi ya
Sukari,zaidi ya Asali na una Figure flani kali
3rd Verse:
Fid Q
Mkulima akimeza Mbegu Jembe halikosi
mwenyewe,nahisi niliumbwa ili unipende yaani sio lazima unielewe/
Naweza toa lakini mimi nisipewe,mimi ninaweza
taka kukuoa kwenu wakakataa usiolewe/
Haujali kulala Ghetto au kuzishampoo hizi
Rasta,kama Dansa wa Loketto juu ya FidQ unavyokata/
Upo na Mimi ‘Chill’ usilete usumbufu,na
wasikutishe kwa Vimini tayari ushanivisha Vicheche Proof/
Ulivyonitega ili kuonyesha hisia zako,
nitakupenda zaidi ya unavyojipenda zaidi ya Mbwa wako/
Nasinzia nikikuwaza japo we sio Wahu,nakufikiria
fasta moyo unakimbia kama Babuu/
Nasikia siku hizi mapenzi hayaendi bila
Cash?hata kama ukimpenda mtu kama hana kitu usimuonyeshe/
Na wenye nazo hawajatulia, wanawakatia
mikwanja,wanawatumia, wanawaacha,wanawakimbia
No comments:
Post a Comment