Social Icons

Saturday 12 May 2012

MBIO ZA MWENGE ZANDULIWA MBEYA JANA

Wananchi na Viongozi mbalimbali wakishuhudia shughuli za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru leo jijini Mbeya.

Vijana wa kundi la halaiki kutoka katika shule mbalimbali za mkoa wa Mbeya wakipamba shughuli za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2012 zinazoongozwa na kauli mbiu ya Sensa ya watu na Makazi ni Msingi wa Mipango ya Maendeleo yetu, Shiriki kuhesabiwa Agosti 26 leo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya .
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (katikati) akiwasha mwenge wa uhuru kuashiria kuanza kwa mbio za mwenge huo kwa mwaka 2012 leo katika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya. Mwenge huo utakimbizwa kwenye jumla ya Halmashauri za wilaya, Manispaa na miji 157 na kuongozwa na kauli mbiu ya Sensa ya watu na Makazi ni Msingi wa Mipango ya Maendeleo yetu Shiriki kuhesabiwa Agosti 26.

No comments:

LATEST NEWS

Share

Widgets

 

Total Pageviews