Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha
Huduma ya Mwanzo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindi kali
na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha
Mwanakwerekwe.
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye Gari ya
Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam
baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi
huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
No comments:
Post a Comment