Social Icons

Wednesday 1 February 2012

MWAKYEMBE:”NAMSHUKURU MUNGU KWA KUENDELEA KUNIPA NGUVU”

Kwa muda sasa,hali ya afya ya Naibu Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Kyela mkoani Mbeya,Dr.Harrison Mwakyembe, imekuwa ni gumzo lisiloisha.Yanasemwa mengi kuhusu ugonjwa unaomsumbua.Yeye mwenyewe hajaweka bayana juu ya ugonjwa wake.Serikali nayo,kwa kuzingatia taratibu za kitabibu,haiwezi kusema kitu.Bado anaugua.
Pamoja na kwamba bado anaugua,hali yake inaendelea vizuri.Mwishoni mwa wiki alithibitisha hilo pale alipoweza kuhudhuria ibada katika Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mch.Josephat Gwajima lililopo maeneo ya Kawe jijini Dar-es-salaam.

Anavyoonekana hivi sasa Dr.Harrison Mwakyembe



No comments:

LATEST NEWS

Share

Widgets

 

Total Pageviews